katika dunia ya sayansi na teknologia ,mabadiliko mengi hutokea kila kukicha na kama ni mfuatiliaji,au mpenda maendeleo lazima utahitaji vihabarishi kama hivi,je wafahamu kuhusu;
13″ Mac-Book Air.
![]() |
siku ya uzinduzi kwa mbali muhasisi steve jobs akitoa ,'"presentation" |
![]() |
hii ndio 13″ Mac-Book Air. katika mwonekano tofauti, |
.Ijapokuwa ni mashine nyepesi na ndogo pia ,lakini inagharimu mamilion ya pesa.sifa za mashine hii ina spidi zaidi ya Macbook pro.,haina mlio/makelele/muungurumo,haina joto(no heat) na kali zaidi ina uwezo wa kutunza chaji kwa muda mrefu zaidi.....fahamu mengineyo mapya usiyoyajua hapa hapa pia tembelea page yetu kupitia facebook; http://www.facebook.com/pages/Ej-it-Solutions/220805611271440
No comments:
Post a Comment